Video: Alice Kimanzi - Waambie | Mp4 Download
Video: Alice Kimanzi - Waambie | Mp4 Download
WAAMBIE LYRICS:
Usingizi kanitoroka moyoni nakesha
ngoma,
Kwa subira nimengoja penzi hili la
thamana,
Tangu tulipokutana nafsi zetu kapatana,
Na ni mbali tumetoka tangu
kuchumbiana,
Siku yetu imefika hakuna 'taye zuia,
Ajalie Maulana pete tutavishana,
Waambie mie nimeshapatikana,
Na yule mume wa mapenzi 'sha nienzi,
Waambie mie milele nishazama,
Sinitafute kule kwa mabinti nishahama,
Angalia Ishara {Angalia}
Tazama Ishara {Angalia}
Angalia Ishara {Angalia}
Mi nishahama {Mi nishahama}
Angalia Ishara {Angalia}
Tazama Ishara {Angalia}
Angalia Ishara {Angalia}
Mi nishazama {Mi nishazama}
Kuna wale wanasema ndoa haidumu
tena,
Yaje maji na mafuriko tayari tushatia
nanga,
Nimempata yule wangu kampenda na
vyote vyangu,
Sitajasahau amenivisha dhahabu,
Nimempata yule wangu kampenda na
vyote vyangu
Simulia walimwengu nishampa moyo
wangu,
Waambie mie nimeshapatikana,
Na yule mume wa mapenzi 'sha nienzi,
Waambie mie nishazama,
Sinitafute kule kwa mabinti nishahama,
Angalia Ishara {Angalia}
Tazama Ishara {Angalia}
Angalia Ishara {Angalia}
Mi nishahama {Mi nishahama}
Angalia Ishara {Angalia}
Tazama Ishara {Angalia}
Angalia Ishara {Angalia}
Mi nishazama {Mi nishazama}
Ee Mola tusaidia kwa wema wako,
Tuwe na ndoa yenye furaha,
Milele hadi milele

I just like it
ReplyDelete